ZIARA YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA NYUMBA YA MATUMAINI KILICHOPO MIYUJI MKOANI DODOMA HAPO JANA

wanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma wakiwa kwenye gari wakielekea kituoni hapo pembeni yangu ni dada neema shija na washkaji wengine thanks GOD tulifika salama kituoni hapo..wanafunzzi wa udom wakipeleka kiroba cha unga. tulipokelewa vizuri sana hawa ndio watoto yatima katika kituo cha nyumba ya matumaini kilichopo miyuji dodoma mjini. na vinavyoonekana hapo ni vitu mbalimbali tulivyojaaliwa kuwapelekea muda ulipofika tulijumuika na watoto katika michezo mbalimbali. Betrice akiimbisha wimbo ya biringe ba yoyo dah tuli enyoy ile mbaya, tulicheza na wadogo zetu mwanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma akicheza biringe picha ya pamoja mimi, brother areman kizuguto na mshkaji wetu picha ya pamoja na wadogo zetu someni kwa bidii wadogo zangu tupo pamoja sana nanyi mimi na mshkaji wangu mpoki mwakisimba suleiman akitoa shukrani za dhati kwa sister modesta mapendo ambae ndiye mlezi wa kituo cha nyumba ya matumaini. napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wanafunzi wenzangu wa chuo kikuu cha dodoma(udom chamber) kwa kufanikisha shughuli hii kiukweli tume enyoy sana. najivunia sana kiisaidia jamii yangu kwa kushirikiana katika mambo ya msingi kama haya.

PERUZ MAGAZETI YA LEO

LINA AFIKA SALAMA U S A KWA AJILI YA MAKAMUZI

Linah na watoto wa mh luticia nyerere Linah anatajia kupiga show zaidi ya majimbo ndani ya USA Linah atapoa pande za obama land kwa muda wa miezi minne

YALIYOJIRI KATIKA USIKU WA HIP HOP NDANI YA UKUMBI WA DAR LIVE

kulikuwa na bonge la nyomi Fid q akipagawisha kwa steji G nako na Bonta wakipiga story Spider alikuwa ndani ya nyumba my best bloger in town DJ CHOKA alimpokelea cirtificate DJ BONNY LUV Bonta alipokea cirtificate ya apreciation mkali Juma nature akiingia ndani ya ukumbi wa DAR LIVE

MAGAZETI YA LEO

MAGAZETI YA JUMAPILI YA LEO TAREHE 04 MARCH